Psalms 106:37-39

37 aWakawatoa wana wao
na binti zao dhabihu kwa mashetani.
38 bWalimwaga damu isiyo na hatia,
damu za wana wao na binti zao,
ambao waliwatoa dhabihu kwa sanamu za Kanaani,
nayo nchi ikanajisika kwa damu zao.
39 cWakajinajisi wenyewe kwa yale waliyotenda;
kwa matendo yao wenyewe wakajifanyia ukahaba.
Copyright information for SwhNEN